Your email was sent successfully. Check your inbox.

An error occurred while sending the email. Please try again.

Proceed reservation?

Export
Filter
  • Swahili  (2)
  • Latin
  • 2020-2024  (3)
  • Sociology  (2)
  • Law  (1)
Datasource
Material
Language
Year
  • 1
    ISBN: 3322000001
    Language: Latin
    RVK:
    RVK:
    RVK:
    RVK:
    Keywords: Thesaurus linguae Latinae ; Quelle ; Latein ; Literatur ; Verzeichnis ; Wörterbuch ; Latein ; Thesaurus linguae Latinae ; Quelle ; Latein ; Literatur ; Quelle
    Note: Lfgs.-Werk. - Von 1991-1999 im Verl. Teubner, Stuttgart, erschienen. - Von 2000-2005 im Verl. Saur, München erschienen. - Ab 2007 im Verl. de Gruyter, Berlin erschienen. - Später mit dem Vermerk: Editus iussu et auctoritate consilii ab academiis societatibusque diversarum nationum electi. , Teilw. auch als CD-ROM erschienen (BV016452961) und Online (BV035942331)
    Library Location Call Number Volume/Issue/Year Availability
    BibTip Others were also interested in ...
  • 2
    Book
    Book
    Dar es Salaam :pS - Counseling Consultants,
    ISBN: 9789987858071
    Language: Swahili
    Pages: xx, 156 Seiten : , Illustrationen.
    Edition: Toleo la kwanza
    RVK:
    Library Location Call Number Volume/Issue/Year Availability
    BibTip Others were also interested in ...
  • 3
    ISBN: 9789976881257 , 9976881258
    Language: Swahili
    Pages: xiv, 167 pages : , color illustrations ; , 21 cm.
    Edition: Toleo la kwanza
    RVK:
    RVK:
    Keywords: Abeli, Audax Sande / 1993- / Biography ; Street children / Tanzania / Social conditions ; Street children / Abuse of / Tanzania ; Abandoned children / Care / Tanzania
    Abstract: "Naitwa Audax Sande Abeli, kijana niliyezaliwa mwaka 1993 katika familia iliyokuwa na uchumi wa kati. Mpaka nafikisha umri wa miaka mitano, baba, mama na wadogo zangu wawili walikuwa wameshafariki, na mimi kukabidhiwa kwa babu yangu. ... Nikiwa na umri wa miaka saba, niliomba kupelekwa shule, lakini matokeo ya ombi langu lile yalikuwa kupigwa kipigo kisicho cha kawaida. Katika kujinusuru na kifo, nilikimbia na kuanza kuishi maisha ya mitaani. Ingawa wazo la awali lilikuwa kujiokoa katika mateso, matukio niliyokutana nayo huko, kwangu yalifanyika zaidi ya mateso kwani niliangukia katika kundi la watoto wasio na malezi (watoto wa mitaani), na kuishi maisha hayo kwa kipindi kisichopungua siku 4380, kabla ya jamii kuniokoa katika mfumo huo mbaya kabisa wa maisha. Kwa kujali kazi njema ya jamii kwangu, mimi nami nimeamua kuanzisha harakati za kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, kwa kuanzisha taasisi isiyo ya kiserikali ya Azaria foundation ambayo imelenga kuwasaidia watoto hao, huku nikiamini jamii ijamii ileile iliyonisaidia mimi, itaungana nami kusaidia watoto wengine."--Page [4] of cover
    Abstract: "Nimeandika kitabu hiki nikiwa na sababu kubwa nne: Kwanza kusimulia maisha yangu mimi mwenyewe, ambayo yamepitia katika vipindi vigumu sana, tangu nikiwa na miaka saba (7) ... Pili, kuielimisha jamii kuhusiana na maisha ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu ambao hudaiwa kuwa watoto wa mitaani, jambo ambalo si kweli kwani hakuna mtaa uzaao watoto. ... Tatu, kuungana na serikali na kuunganisha nguvu ya jamii kuhakikisha tunakomboa kizazi hicho, hiyo ikiwa sehemu mojawapo ya shukrani zetu kwa Mungu kwa ... Nne, kuishukuru jamii kutokana na msaada wa watu walionisaidia hadi kunifikisha mahali pa kugeuka kutoka kuitwa mtoto wa mitaani hadi kuwa katika mtazamo mpya!"--Pages iv-v
    Note: "Toleo la kwanza 2020"--Page iii
    Library Location Call Number Volume/Issue/Year Availability
    BibTip Others were also interested in ...
Close ⊗
This website uses cookies and the analysis tool Matomo. More information can be found here...